Safari Maalum ya Siku 2 kwenda Hifadhi ya Taifa Tarangire & Maporomoko ya Maji Napuru (Napuru Waterfalls) - Msitu wa Meru.
Inahusisha; TAHLISO Excom, Viongozi Wote wa Serikali za Wanafunzi kutoka Vyuo & Vyuo Vikuu na Wanafunzi Wote.
NB: Safari hii (Tshs. 75,000/-) ni kwaajili ya wale wasiohitaji kuandaliwa malazi wakiwa Arusha (no-accommodation)
Date: 28 Mar 2026 - 29 Mar 2026
SIKU 1: ARUSHA - TARANGIRE - ARUSHA
Saa 12:30 – Saa 1:00 Asubuhi
Kuwachukua kutoka Vyuoni
Saa 1:00 – Saa 3:30 Asubuhi
Safari kuelekea Tarangire National Park
Saa 3:30 – Saa 7:00 Mchana
Game drive ndani ya hifadhi
Saa 7:00 – Saa 8:00 Mchana
Lunch (picnic site)
Saa 8:00 – Saa 10:00 Alasiri
Game drive ya mchana na kutembelea Maasai Boma (Cultural Tourism)
Saa 10:00 – Saa 12:30 Jioni
Safari ya kurudi Arusha
Saa 12:30 Jioni
Kuwashusha Hotelini
___________________________________________
SIKU 2: ARUSHA - NAPURU WATERFALLS - ARUSHA
Saa 2:00 – Saa 2:30 Asubuhi
Kuwachukua kutoka hotelini Arusha
Saa 2:30 – Saa 3:00 Asubuhi
Safari kuelekea Napuru Waterfalls, Msitu wa Meru
Saa 3:00 – Saa 6:30 Mchana
Nature walk Msituni kuelekea Maporomoko ya Maji
Saa 6:30 – Saa 7:30 Mchana
Lunch
Saa 7:30 – Saa 9:00 Alasiri
Relax & kuendelea kufurahia mazingira - Meru Eco Camp
Saa 9:00 – Saa 9:30 Alasiri
Safari ya kurudi Arusha
Saa 9:30 – Saa 10:00 Jioni
Drop off hotelini